Mparachichi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mparachichi
Remove ads

Mparachichi au mwembe-mafuta (Kiing. avocado, Kilatini Persea americana) ni mti wenye majani na matunda makubwa ambao hupandwa mahali pote pa tropiki na nusutropiki. Huitwa mpea pia lakini afadhali jina hili litumiwe kwa miti ya jenasi Pyrus. Matunda yake (maparachichi au maembe mafuta) yana mafuta mengi.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads