Mdengu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mdengu
Remove ads

Mdengu (Lens culinaris) ni jina la mmea katika familia Fabaceae unaozaa dengu (pia adesi), mbegu zake ambazo zimo mbili mbili ndani ya makaka. Jina la jenasi linatoka kwa umbo wa mbegu unaofanana na lenzi mbinuko.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mdengu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads