Meinardi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Meinardi
Remove ads

Meinardi (kwa Kijerumani: Meinhard; 1134/1136 - 1196) alikuwa padri kanoni wa Ujerumani ambaye alipokaribia uzee alikwenda kufanya umisionari huko Livonia, leo Latvia, akawa askofu wa kwanza wa nchi hiyo na kuiwekea msingi imara ya imani ya Kikristo[1][2].

Thumb
Mt. Meinardi.

Tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Yohane Paulo II tarehe 8 Septemba 1993.

Sikukuu yake ni tarehe 11 Oktoba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads