Mektilde wa Hackeborn

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mektilde wa Hackeborn
Remove ads

Mektilde wa Hackeborn, O.S.B. (pia: Mechthild, Mechtilde; 1240/124119 Novemba 1298) alikuwa mmonaki wa kike wa monasteri ya Helfta nchini Ujerumani, maarufu kwa ujuzi wa dini na unyenyekevu, aliyeangazwa na Mungu katika sala ya kumiminiwa[1].

Thumb
Sanamu yake huko Engelszell.

Ndiye aliyemlea mtoto Getrude Mkuu.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waanglikana na Walutheri kama mtakatifu bikira.

Sikukuu yake ni tarehe 19 Novemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads