Membe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Membe
Remove ads

Kwa matumizi mengine za jina hili angalia Membe (maana)

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Membe ni ndege wa jenasi Numenius katika familia ya Scolopacidae. Bartramia longicauda ana mnasaba sana na membe. Ndege hawa ni wakubwa kabisa katika familia hii. Wana miguu mirefu na mdomo mrefu unaopingwa chini (isipokuwa Bartramia). Wana rangi kahawia na madoa na michirizi nyeupe mwaka mzima. Hutafuta chakula kwa matope wakiingiza mdomo mrefu wao, na hula nyungunyungu, daa, wadudu na gegereka. Hutaga mayai 3-6 ardhini kwa manyasi.

Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads