Bata-bahari

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bata-bahari
Remove ads
Remove ads

Mabata-bahari ni ndege wa maji wa nusufamilia ya Merginae katika familia ya Anatidae. Mabata hawa wanaishi baharini hasa nje ya majira ya kuzaa. Wengi wana tezi za chumvi maalum ambazo zinawawezesha kuvumilia maji ya bahari. Mabata-domomeno hupenda zaidi mazingira ya mito.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Mabata-bahari hula samakigamba na gegereka wa chini ya bahari. Mabata-domomeno hula samaki. Meno ya madomo yao yanawasaidia kushika mawindo. Takriban spishi zote zinatokea kanda za kaskazini mbali.

Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads