Metroni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Metroni (aliishi Verona, Italia, karne ya 8) alikuwa mkaapweke maarufu kwa ugumu wa maisha aliojipatia baada ya kuishi kwa anasa [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Mei[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads