Mikumi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mikumi ni kata ya Wilaya ya Kilosa katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 31,220 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 19,977 waishio humo. [2]

Kabila asili ambalo linaishi humo ni Wavidunda.

Mikumi iko kwenye barabara kuu ya TANZAM kando ya Hifadhi ya Mikumi.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads