Mkakao

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkakao
Remove ads

Mkakao (jina la kisayansi: Theobroma cacao) ni mti ambao maua na kwa hivyo matunda yake yamea juu ya shina au matawi. Kokwa hutumika kwa kutengeneza kakao, ambayo ni chanzo cha chokoleti.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Mkakao hulimwa sana nchini Ghana, lakini pia Tanzania maeneo kama vile Kyela.

Remove ads

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkakao kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads