Mkakao
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mkakao (jina la kisayansi: Theobroma cacao) ni mti ambao maua na kwa hivyo matunda yake yamea juu ya shina au matawi. Kokwa hutumika kwa kutengeneza kakao, ambayo ni chanzo cha chokoleti.
Mkakao hulimwa sana nchini Ghana, lakini pia Tanzania maeneo kama vile Kyela.
Remove ads
Picha
- Maua
- Matunda mabichi
- Tunda lililokatwa
- Kokwa
- Kakao - kifani katika makumbusho
![]() |
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkakao kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads