Mpamba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mpamba (Gossypium sp.) ni jina la spishi nne za vichaka au miti ambazo matunda yao yatoa nyuzinyuzi zito iitwayo pamba.
Remove ads
Spishi
- Gossypium arboreum, mpamba mti (inatoka India na Pakistani)
- Gossypium barbadense, mpamba wa Kimisri (inatoka Amerika ya Kusini)
- Gossypium herbaceum, mpamba wa Kiarabu (inatoka Afrika ya Kusini na Uarabu)
- Gossypium hirsutum, mpamba wa Kimarekani (inatoka Amerika ya Kati, kusini kwa Florida na Visiwa vya Karibi)
Picha
- Ua
- Tunda bichi
- Pamba
![]() |
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mpamba kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads