Mkekundu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkekundu
Remove ads

Mkekundu (Chloris gayana) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Nyasi hii huishi miaka kadhaa na inaweza kufika urefu wa m 3. Inaweza kumea katika maeneo makavu kiasi (mm 600-750 ya mvua kwa mwaka). Kwa sababu haichuani na mimea ya shambani, inaweza kupandwa katikati yao bila kuathiri mazao na pia ni lishe bora ya wanyama wafugwao.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Viungo vya nje

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads