Mkoa wa Kayes

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Kayes
Remove ads

Mkoa wa Kayes (kwa Kibambara: Kayi Dineja) ni mojawapo ya mikoa nane nchini Mali inayoitwa regions. Eneo lake ni kilomita za mraba 120,760. Idadi ya wakazi ilikuwa takriban milioni 2 kwenye mwaka 2009. Makao makuu yako mjini Kayes . Mkoa huo kihistoria ulikuwa sehemu ya Dola la Ghana na Milki ya Mali.

Thumb
Mkoa wa Kayes. Barabara zisizo na lami zinaonyeshwa kwa njia zenye mistari. Mipaka ya Hifadhi ya Kitaifa ya Boucle du Baoulé ni takriban.
Thumb
Cercles za Mkoa wa Kayes
Remove ads

Jiografia

Mkoa wa Kayes umepakana na Mauritania upande wa kaskazini, Senegal upande wa magharibi, Guinea upande wa kusini na upande wa mashariki uko Mkoa wa Koulikoro .

Makabila ya eneo hilo ni pamoja na Wasoninke, Wakhassonke, Wamalinke, Wadialonke na Wafulani.

Mito ya mkoa ni pamoja na Baoule, Bafing na Bakoy ambayo inaungana katika mji wa Bafoulabe kuunda Mto Senegal.

Miji mikubwa katika eneo ni Kayes, Kita, Bafoulabé, Nioro du Sahel, Diéma, Yélimané, Sadiola na Kéniéba.

Remove ads

Wilaya

Mkoa wa Kayes umegawiwa katika wilaya 7 zinazoitwa cercles: [1]

Maelezo zaidi Jina la Cercle, Eneo (km2) ...

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads