Guinea

nchi huru katika Afrika Magharibi From Wikipedia, the free encyclopedia

Guinea
Remove ads

Gine (pia: Gini; kwa Kifaransa: Guinée; kwa Kiingereza: Guinea; jina rasmi Jamhuri ya Gine) ni nchi katika Afrika ya Magharibi. Pengine inatajwa kama Gine-Conakry ili kuitofautisha na nchi za Gine-Bisau na Gine ya Ikweta.

Ukweli wa haraka Mji mkuu na mkubwa, Lugha rasmi ...
Remove ads

Imepakana na Gine-Bisau, Senegal na Mali upande wa kaskazini, Kodivaa, Liberia na Sierra Leone kusini halafu Bahari ya Atlantiki upande wa magharibi.

Eneo lake ni chanzo ya mito mikubwa ya Niger, Senegal na Gambia.

Remove ads

Jina

Jina la "Gine" liliwahi kutaja sehemu kubwa ya Afrika ya Magharibi kati ya jangwa la Sahara na Ghuba ya Gine ya Atlantiki likimaanisha "nchi ya watu weusi" kwa lugha ya Kiberberi.

Watu

Makabila yaliyopo nchini ni 24. Kubwa zaidi ni lile la Wafulani (40%).

Lugha rasmi ni Kifaransa, lakini wakazi wanatumia zaidi lugha asilia kadiri ya makabila, hasa Kipular, Kimandinka, Kisusu, Kikisi, Kikpelle na Kiloma,

Upande wa dini, 85% ni Waislamu (hasa Wasuni), 8% ni Wakristo (hasa Wakatoliki) na 7% ni wafuasi wa dini asilia za Kiafrika.

Picha

Tazama pia

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Serikali

Habari

Muziki

Orodha


Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guinea kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads