Mkoa wa Magharibi (Uganda)

mkoa wa Uganda From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Magharibi (Uganda)
Remove ads

Mkoa wa Magharibi (kwa Kiingereza: Western Region) ni kati ya mikoa minne ya Uganda.

Thumb
Ramani.
Thumb
Wilaya za Uganda; mkoa wa Magharibi una rangi ya buluu.

Kwa sasa linaundwa na wilaya 26.

Makao makuu yako Mbarara.

Wakazi ni 8,874,862.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads