Mkuu wa mkoa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mkuu wa Mkoa ni kiongozi mkuu wa serikali katika mkoa[1].

Jukumu la kiutawala la Mkuu wa Mkoa ni kuhakikisha kwamba mifumo ya utawala katika wilaya zake inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi.

Kwa Tanzania kiongozi huyo huteuliwa na Rais. Ndiye mwakilishi wa Rais katika Mkoa.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads