Mlima Mtorwe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mlima Mtorwe (pia: Mtove, Mtorwi) ni mlima mrefu katika milima ya kusini mwa Tanzania. Unainuka juu ya uwanja wa Kitulo na kuhesabiwa kuwa sehemu ya Milima ya Kipengere.

Unatajwa kuwa na kimo cha mita 2961 juu ya UB, hivyo ni juu kidogo kuliko Mlima Rungwe (m 2960). Mguuni pa Mtorwe mto Kimani unashuka kupitia maporomoko kwenda Bonde la Usangu[1].
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads