Monegunda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Monegunda (alifariki Tours, Ufaransa, 3 Juni 570) alikuwa mwanamke Mkristo ambaye baada ya kuolewa na kuzaa watoto wa kike waliowahi kufariki akawa mkaapweke kwa ruhusa ya mume wake[1].

Kwanza aliishi kwao Chartres, halafu akahamia sehemu za Tours ambako alipata wafuasi hadi ikaanzishwa monasteri[2].
Habari zake zimeandikwa na Gregori wa Tours ambaye alimfahamu.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads