Monegunda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Monegunda
Remove ads

Monegunda (alifariki Tours, Ufaransa, 3 Juni 570) alikuwa mwanamke Mkristo ambaye baada ya kuolewa na kuzaa watoto wa kike waliowahi kufariki akawa mkaapweke kwa ruhusa ya mume wake[1].

Thumb
Mt. Monegunda alivyochorwa.

Kwanza aliishi kwao Chartres, halafu akahamia sehemu za Tours ambako alipata wafuasi hadi ikaanzishwa monasteri[2].

Habari zake zimeandikwa na Gregori wa Tours ambaye alimfahamu.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Julai[3].

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads