Mpasuambegu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mpasuambegu
Remove ads

Wapasuambegu ni ndege wadogo wa jenasi Crithagra katika familia Fringillidae. Spishi nyingine za Crithagra ambazo zina rangi njano na/au nyekundu huitwa chiriku. Wapasuambegu wana rangi ya kahawa, kijivu na nyeupe na pengine njano kidogo na wana michirizi myeusi. Hawa ni ndege wa maeneo yenye miti. Hula mbegu lakini hulisha makinda yao wadudu. Hujenga tago lao kwa manyasi, nyuzinyuzi na pengine vigoga na kuvumwani katika panda ya mti. Jike huyataga mayai 2-5.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za Asia

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads