Chiriku

From Wikipedia, the free encyclopedia

Chiriku
Remove ads

Chiriku ni ndege wadogo wa familia Fringillidae. Spishi bila rangi kali kama njano na nyekundu huitwa mpasuambegu pia na spishi yenye domo nene huitwa yombeyombe. Spishi nyingi zina rangi ya kahawa pamoja na nyeupe na pengine njano au nyekundu na zina michirizi myeusi. Spishi nyingine zina rangi kali kama njano, nyekundu, kijani na/au buluu. Hawa ni ndege wa maeneo yenye miti, lakini wengine wanatokea maeneo wazi na hata majangwa. Hula mbegu lakini hulisha makinda yao wadudu. Hujenga tago lao kwa manyasi, nyuzinyuzi na pengine vigoga na kuvumwani katika panda ya mti. Jike huyataga mayai 2-10.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads