Joseph Mbilinyi

Mwanasiasa wa Tanzania, mwanaharakati wa haki za binadamu na mwimbaji wa rap. From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads
Remove ads

Joseph Osmund Mbilinyi (anajulikana sana kwa jina lake la kisanii kama Mr. II na Sugu au 2-proud; amezaliwa 1 Mei 1972) ni rapa, mwanaharakati wa haki za binadamu na mwanasiasa kutoka nchini Tanzania.

Ni miongoni mwa waanzilishi wa awali kabisa wa hip hop ya Tanzania, kwanza akiwa na Da Young Mob, ambao alishirikiana nao katika kinyang'anyiro cha Yo Rap Bonanza iliyokuwa inaandaliwa na akina Kim the Boyz na Ibony Moalim katika miaka ya 1990, kabla ya kwenda kuwa rapa wa kujitegemea na kutoa albamu ya kwanza iliyokwenda kwa jina la Ni Mimi mnamo mwaka wa 1995.

Vivile Sugu ni mwanasiasa wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mbeya Mjini kwa miaka 20152020.[1][2] [3]

Mwishoni mwa mwezi Agosti, 2017, Sugu alifungua hoteli jijini Mbeya na kuipa jina la "Desderia Hotel".[4]

Remove ads

Diskografia

Mr. II ndiyo msanii pekee wa hip hop ya Tanzania ambaye katoa albamu nyingi:

  • Ni Mimi (1995)
  • Ndani ya Bongo (1996)
  • Niite Mister II (1998)
  • Nje ya Bongo (1999)
  • Milenia (albamu)|Milenia (2000)
  • Muziki na Maisha (2001)
  • Itikadi (albamu)|Itikadi (2002)
  • Sugu (albamu)|Sugu (2004)
  • Coming of Age-Ujio Wa Umri(2006)
  • VETO (2009)
  • Antivirus Mixtapes

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads