Ndani ya Bongo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ndani ya Bongo
Remove ads

Ndani ya Bongo ni jina la albamu ya pili kutoka kwa msanii wa muziki wa hip hop wa Dar es Salaam, Tanzania maarufu kama II Proud. Albamu imetoka mwaka 1996 mwaka mmoja tangu atoe albamu ya kwanza. Nyimbo kali kutoka katika albamu ni pamoja na Kwa Penzi, Ndani Ya Bongo na Mojakwamoja. [1] Albamu imetayarishwa na watayarishaji wakubwa wawili wa Tanzania, P. Funk na Master Jay.

Ukweli wa haraka Studio album ya Mr. II, Imetolewa ...
Remove ads

Orodha ya nyimbo

  1. A1 - Intro
  2. A2 - Nimesimama
  3. A3 - KwaPenzi
  4. A4 - Mojakwamoja (Orgn.)
  5. A5 - Black Queen
  6. A6 - Mojakwamoja (Re-mix)
  7. B1 - Ndani Ya Bongo
  8. B2 - Fani
  9. B3 - Blaah Blaah
  10. B4 - Kwa Penzi (Remix)
  11. B5 - Got You Open

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads