Msala
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Msala ni kata ya Wilaya ya Kibiti katika Mkoa wa Pwani, Tanzania, iliyopo kwenye delta ya mto Rufiji, yenye postikodi namba 61805. Ilianzishwa mnamo mwaka 2015 kutokana na maeneo ya kata ya Maparoni.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 4,473 [1]. Mnamo mwaka 2016 idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa watu 3,899.[2]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads