Wilaya ya Kibiti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wilaya ya Kibiti ni wilaya mpya katika Mkoa wa Pwani iliyoanzishwa mnamo mwaka 2015. Maeneo yake yalitengwa na Wilaya ya Rufiji.
Kulingana na matokeo ya sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilikadiriwa kuwa 133,727 kwa mwaka 2016. [1] Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 195,638 [2].
Misimbo ya Posta katika wilaya hii huanza kwa namba 616.
Wilaya ya Kibiti inajumlisha ndani yake kata za delta ya mto Rufiji ambazo hazijafikiwa bado na maendeleo ya miundombinu hadi mwaka 2017.
Remove ads
Kata na Wakazi
Wilaya ya Kibiti ilikadiriwa kuwa na wakazi 133,727 mnamo mwaka 2016.
Kata zake zilikuwa na wakazi wafuatao:
Tanbihi
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads