Indus (mto)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Indus (mto)
Remove ads

Mto Indus {Kiurdu: سندھ Sindh; Kipunjabi Sindhu; Kihindi na Sanskrit: सिन्धु Sindhu; Kifarsi: حندو Hindu; Kigiriki: Ινδός Indos} ni mto mrefu wa Bara Hindi na mto mkubwa nchini Pakistan.

Ukweli wa haraka Mto Indus (Sindh, Hind) ...

Chanzo chake kipo katika China (Tibet) ikiendelea kupitia Uhindi na Pakistan. Jina la Uhindi limetokana na jina la mto.

Maji ya Indus hutumiwa kwa mwagiliaji ni uti wa mgongo kwa sehemu kubwa ya kilimo cha Pakistan.

Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Indus (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads