Kiurdu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kiurdu
Remove ads

Kiurdu (pia hujulikana kama Lashkari imeandikwa لشکری[1]) ni aina ya lugha ya Kihindi iliyosanifiwa.

Thumb
Lashkari Zaban ("lugha ya kambi ya jeshi" au "Lugha ya Hordish") katika hati ya Nastaliq

Ndiyo lugha rasmi ya Pakistan na ya majimbo 6 ya India (katika nchi hiyo ni mojawapo kati ya 22 zinazokubaliwa na katiba).

Kwa kawaida kinaandikwa kwa alfabeti ya Kiarabu kutokana na uhusiano wake na dini ya Uislamu.

Wanaokitumia kama lugha mama ni watu milioni 65.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads