Moskva (mto)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Moskva (mto)
Remove ads

Mto Moskva (Kirusi: Москва) ni mto wa Urusi unaopita katika mikoa ya Moscow na Smolensk na kwenye mji wa Moscow mwenyewe. Urefu wake ni kilomita 503. Unaishia katika mto Oka kwenye mji wa Kolomna. Kwa jumla ni sehemu ya beseni ya Volga.

Ukweli wa haraka Mto Moskva ...
Thumb
Ramani ya beseni ya Volga pamoja na Moskva
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads