Volga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Volga
Remove ads

Volga (kwa Kirusi: Волга) ni mto mrefu kuliko yote ya Ulaya. Mwendo wake kuanzia chanzo hadi mdomo uko nchini Urusi. Urefu wake ni km 3,690. Inanaza kaskazini- magharibi ya Moskva na kupita kwenye tambarare za Urusi ya magharibi. Inaishia kwenye Bahari ya Kaspi kwa kimo cha -28 (chini ya UB) karibu na mji wa Astrakhan. Volga inapokea takriban mito 200 inayoishia humo.

Ukweli wa haraka
Remove ads
Thumb
Beseni la Volga.

Mto ni njia ya maji muhimu inayounganana na:

Remove ads

Picha

Tazama pia

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Volga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads