Senegal (mto)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Senegal (mto)
Remove ads

Mto wa Senegal ni kati ya mito mirefu ya Afrika ukiwa na urefu wa kilometa 2272 pamoja na tawimto mrefu la Bafing.

Ukweli wa haraka Mto wa Senegal ...
Remove ads

Mto Senegal wenyewe unaanza karibu na mji wa Bafoulabe (Mali) kwenye maungano ya mito miwili ya Bafing na Bakoye ambayo yote ina chanzo huko Guinea.

Urefu wa mto Senegal ni mpaka kati ya Mauretania na Senegal. Senegal ikikaribia bahari ya Atlantiki inafika kwenye kisiwa cha St. Louis halafu inageukia kusini. Sasa inafuata pwani ya bahari ikitengwa na Atlantiki kwa kanda nyembamba ya mchanga tu hadi kuingia bahari ya Atlantiki.

Beseni la Senegal ni kilometa za mraba 483,181. Matawimto muhimu ni mto Faleme, mto Karakoro na mto Gorgol.

Mali, Mauritania, Senegal na Guinea zimeshirikiana katika mamlaka ya beseni la mto wa Senegal (Organisation pour la mise en valeur du fleuve Sénégal - OMVS).

Thumb
Bonde la mto wa Senegal mpakani mwa Senegal na Mauritania.
Remove ads

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Senegal (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads