Muhammadu Buhari

Rais wa zamani wa Nigeria From Wikipedia, the free encyclopedia

Muhammadu Buhari
Remove ads

Muhammadu Buhari (amezaliwa tar. 17 Desemba 1942) amekuwa rais wa Nigeria tangu 29 Mei 2015. Anashika cheo mara ya pili maana aliwahi kuwa rais toka 31 Desemba mwaka 1983 hadi 27 Agosti mwaka 1985. Wakati ule aliingia madarakani kama jenerali ya jeshi kwa kumpindua rais aliyechaguliwa Shehu Shagari. Buhari mwenyewe alipinduliwa mwaka 1985 na jenerali Ibrahim Babangida.

Thumb
Buhari

Katika kura za uchaguzi za miaka 2003, 2007 na 2011 aligombea urais bila kufaulu. alikuwa mgombea urais katika uchaguzi wa kitaifa wa mwaka huo, lakini hakuibuka kuwa mshindi. Alirudia kugombea katika kura ya mwaka 2015 aliposhinda dhidi ya rais Goodluck Jonathan kwa asilimia 54 za kura zote.[1]

Muhammadu Buhari katika awamu la kwanza la urais alitanguliwa na Shehu Shagari kisha akafuatiwa na Ibrahim Babangida.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads