Mwamba Productions

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mwamba Productions
Remove ads

Mwamba Productions ni studio ya kufanyia rekodi za muziki kutoka nchini Ufini-Tanzania. Studio ilianzishwa mnamo mwaka wa 2004 ikiwa na wasanii Wazungu tu, lakini baadaye ikaja kuwa na wasanii wengine pale ilipoanza kufanya kazi na wasanii wa Tanzania. Studio imeshatoa albamu kadhaa za muziki wa bongo flava na nyingine nyingi kwa nchi ya Ufini. Kwa albamu za bongo, studio imetoa albamu ya Bomoa Mipango, Mambo Jambo n.k.[1]

Ukweli wa haraka Imeanzishwa, Mwanzilishi ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads