Najma Murtaza Giga

Mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Najma Murtaza Giga (amezaliwa tarehe 5 Septemba 1967) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge kupitia kwa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads