Nathalan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nathalan (pia: Nachlan au Nauchlan; alifariki 678) alikuwa askofu katika eneo la Aberdeen nchini Uskoti, maarufu kwa upendo aliokuwanao kwa fukara[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Leo XIII tarehe 11 Julai 1898.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads