Ndege-mawingu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ndege-mawingu
Remove ads

Ndege-mawingu ni ndege wa bahari katika jenasi Phaethon, jenasi pekee ya familia Phaethontidae. Ndege hawa ni weupe na wana mileli mirefu katikati ya mkia. Hupitisha maisha yao yote baharini isipokuwa wakati wa majira ya kuzaa. Wanaweza kuogelea na kwa hivyo wana ngozi kati ya vidole; kwa kweli hawatembei vizuri. Huwakamata samaki na ngisi wakipiga mbizi au huwakamata panzi-bahari (samaki wanaoruka juu ya maji). Jike hutaga yai moja tu ndani ya tundu au mwanya wa mwamba visiwani kwa bahari.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads