Netflix
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Netflix ni kampuni ya Marekani inayotoa huduma ya kutazama filamu na vipindi vya runinga kupitia intaneti.

Wateja wananunua huduma kwa muda wa miezi fulani halafu wanaweza kutazama filamu zilizomo katika hazinadata ya Netflix.
Mteja hawezi kupakua media hizo yaani hawezi kubaki na nakala ya filamu bali anaiangalia moja kwa moja.
Kwenye mwaka 2021 Netflix ilikuwa na wateja milioni 209 kote duniani[1][2].
Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads