Nikodemo wa Cirò

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nikodemo wa Cirò
Remove ads

Nikodemo wa Cirò (pia: wa Mammola; Cirò, mkoa wa Calabria, Italia, 900 hivi – Gerace, Calabria, 25 Machi 990) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Mashariki maarufu wa maadili na ugumu wa maisha, halafu mkaapweke na mlezi wa wamonaki kusini mwa Italia[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Nikodemo.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Tarehe ya kifo chake ndiyo sikukuu yake[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads