Nikodemo wa Cirò
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nikodemo wa Cirò (pia: wa Mammola; Cirò, mkoa wa Calabria, Italia, 900 hivi – Gerace, Calabria, 25 Machi 990) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Mashariki maarufu wa maadili na ugumu wa maisha, halafu mkaapweke na mlezi wa wamonaki kusini mwa Italia[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads