Nikola wa Tolentino

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nikola wa Tolentino
Remove ads

Nikola wa Tolentino, O.S.A. (kwa Kiitalia Nicola da Tolentino; Sant'Angelo, 1246 hivi - 10 Septemba 1305) alikuwa padri maarufu kwa maisha ya kiroho.

Thumb
Mt. Nikola wa Tolentino alivyochorwa.

Mkali kwake mwenyewe katika kujinyima na kusali kwa bidii, alikuwa na huruma kwa watu wengine, akifanya mara nyingi malipizi kwa niaba yao[1].

Alitangazwa na Papa Eugeni IV kuwa mtakatifu tarehe 5 Juni 1446.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads