Niseforo wa Konstantinopoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Niseforo I wa Konstantinopoli (kwa Kigiriki: Νικηφόρος Α΄, Nikēphoros I; Konstantinopoli, leo Istanbul nchini Uturuki, 758 hivi – Konstantinopoli, 5 Aprili 828) alikuwa mwandishi wa Kikristo wa Dola la Bizanti na Patriarki wa Konstantinopoli tangu 12 Aprili 806 hadi 13 Machi 815.[1][2]

Aliondolewa madarakani na kaisari Leo V na kupelekwa kuishi monasterini kwa sababu ya kutetea matumizi ya picha takatifu [3].
Huko aliishi muda mrefu akiendelea kuandika ili kutetea matumizi hayo[4].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads