Nueva Esparta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nueva Esparta
Remove ads

Nueva Esparta ni mojawapo kati ya majimbo 23 yanayounda Venezuela; peke yake ni la visiwani.

Thumb
Pwani "Playa el Agua", kisiwa cha Margarita.

Liko katika bahari ya Karibi, katika visiwa vya Margarita, Coche na Cubagua. Jumla ni kilometa mraba 1,150.

Wakazi ni 491,610, wengi wakiongea Kihispania na kufuata Ukristo katika Kanisa Katoliki.

Makao makuu yako La Asunción, lakini mji mkubwa zaidi ni Porlamar.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads