Nyeri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nyeri ni mji wa Kenya ya kati, takriban kilomita 100 kaskazini kwa Nairobi, miguuni mwa safu ya Aberdare ikitazama mlima Kenya. Nyeri ni makao makuu ya Kaunti ya Nyeri.

Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 125,357[1]. Wakazi walio wengi ni Wakikuyu.
Nyeri imejulikana kimataifa kwa sababu ni mahali pa kuzikwa kwa Robert Baden-Powell anayekumbukwa kama mwanzilishi wa harakati ya maskauti. Maskauti kutoka nchi mbalimbali za dunia hufika hapo mara kwa mara kwa kumheshimu mzee huyu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads