Onesimo Nesib
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Onesimo Nesib (kwa Kioromo: Onesimoos Nasiib; 1856 hivi – 21 Juni 1931) alikuwa Mworomo aliyejiunga na madhehebu ya Walutheri (31 Machi 1872) akawa mmisionari nchini Ethiopia akatafsiri Biblia ya Kikristo katika Kioromo. Hivyo amekuwa mwanzilishi wa fasihi ya Kioromo ya kisasa[1].

Onesimo Nesib anatazamwa kama mtakatifu katika Lutheran Book of Worship ya Marekani.
Remove ads
Matoleo
- The Bible. 1893.
- The Galla Spelling Book. Moncullo: Swedish Mission Press, 1894.
Chanzo
- Arén, Gustav. 1978. Evangelical Pioneers in Ethiopia. Stockholm: EFS Vorlage.
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads