Waoromo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Waoromo
Remove ads

Waoromo ni kabila kubwa la watu (35,000,000) wa jamii ya Wakushi wanaoishi nchini Ethiopia, lakini pia Kenya na Somalia.

Thumb
Uenezi wa Kioromo na lahaja zake.

Lugha yao ni Kioromo, kubwa kuliko zote kati ya lugha za Kikushi.

Wengi wao ni Waislamu na Wakristo.

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads