Waoromo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Waoromo ni kabila kubwa la watu (35,000,000) wa jamii ya Wakushi wanaoishi nchini Ethiopia, lakini pia Kenya na Somalia.

Lugha yao ni Kioromo, kubwa kuliko zote kati ya lugha za Kikushi.
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads