Kioromo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kioromo ni lugha ya Waafrika milioni 34 hivi. Ndiyo lugha kubwa nchini Ethiopia, na inatumika hata Kenya na Somalia, ikiwa ya nne barani Afrika kwa wingi wa watumiaji. Kati ya lugha za Kikushi ndiyo ya kwanza.

Inagawanyika hasa kati ya Kioromo-Mashariki, Kioromo-Mashariki na Kioromo-Kusini.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads