Kioromo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kioromo
Remove ads

Kioromo ni lugha ya Waafrika milioni 34 hivi. Ndiyo lugha kubwa nchini Ethiopia, na inatumika hata Kenya na Somalia, ikiwa ya nne barani Afrika kwa wingi wa watumiaji. Kati ya lugha za Kikushi ndiyo ya kwanza.

Thumb
Lahaja za Kioromo[1].

Inagawanyika hasa kati ya Kioromo-Mashariki, Kioromo-Mashariki na Kioromo-Kusini.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads