Pangani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Pangani ni jina la mto, wilaya na mji katika Tanzania.

* Mto wa Pangani unabeba maji ya Milima ya Meru, Kilimanjaro, Upare na Usambara kwenda Bahari Hindi. Mdomo wake uko mjini Pangani.
* Wilaya ya Pangani ni kati ya wilaya za mkoa wa Tanga.
* Mji wa Pangani ni makao makuu wa wilaya ya Pangani iliyomo mkoa wa Tanga ufukoni mwa Bahari ya Hindi na mto wa Pangani.
* Pangani, kata ya wilaya ya Kibaha Mjini.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads

