Pangani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Remove ads
Pangani ni jina la mto, wilaya na mji katika Tanzania.

* Mto wa Pangani unabeba maji ya Milima ya Meru, Kilimanjaro, Upare na Usambara kwenda Bahari Hindi. Mdomo wake uko mjini Pangani.
* Wilaya ya Pangani ni kati ya wilaya za mkoa wa Tanga.
* Mji wa Pangani ni makao makuu wa wilaya ya Pangani iliyomo mkoa wa Tanga ufukoni mwa Bahari ya Hindi na mto wa Pangani.
* Pangani, kata ya wilaya ya Kibaha Mjini.
- Jina la Pangani hupatikana pia katika miji mbalimbali likitaja eneo au mtaa ndani yake, kwa mfano Pangani katika Nairobi, karibu na Eastleigh. Maana ni "eneo watu walipopanga nyumba zao".
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads