Pango (jiolojia)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pango (jiolojia)
Remove ads

Pango (kwa Kiingereza: "cave") katika jiolojia ni sehemu kubwa yenye uwazi iliyopo ardhini, kwenye mwamba au pia ndani ya mti mkubwa.

Thumb
Mapango ya Amboni kwa ndani.
Thumb
Lechuguilla Cave, New Mexico, Marekani.

Mara nyingi linakuwa mahali pa kufichama au kufichia vitu.

Pia limedhaniwa na tamaduni mbalimbali kama za Afrika kuwa mahali pa kufichama au kuishi kwa mizimu n.k.

Tazama pia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads