Mapango ya Amboni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads

Mapango ya Amboni ni mapango makubwa ya chokaa katika Afrika Mashariki. Yanachukua nafasi ya km2 234.
Mapango hayo yako kaskazini kwa mji wa Tanga nchini Tanzania, kilomita 8 kwa njia ya barabara ya Tanga-Mombasa.
Mapango hayo yaliundwa karibu miaka milioni 150 iliyopita wakati wa Jurassic. Kulingana na watafiti eneo hilo lilikuwa chini ya maji miaka milioni 20 iliyopita.
Kuna mapango kumi lakini moja tu hutumiwa kwa ziara za kuongozwa.
Remove ads
Picha
- Nje
- Vines
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads