Pango la Denisova

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pango la Denisova
Remove ads

Pango la Denisova (kwa Kirusi: Денисова пещера, Denísova peshchéra) linapatikana katika milima ya Altai, Siberia, Urusi.

Thumb
Pango lilivyo.

Ni muhimu katika utafiti juu ya asili ya binadamu kutokana na upatikanaji wa mabaki ya aina mbalimbali za viumbehai wa jenasi Homo. Aina mojawapo imepewa jina la pango hilo (Denisova hominin au Homo denisova), nyingine ni maarufu kama Homo neanderthaliensis, mbali ya Homo sapiens sapiens[1].

Mabaki hayo yanaonekana kuthibitisha kwamba aina hizo zilizaliana.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads