Pango la Denisova
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Pango la Denisova (kwa Kirusi: Денисова пещера, Denísova peshchéra) linapatikana katika milima ya Altai, Siberia, Urusi.

Ni muhimu katika utafiti juu ya asili ya binadamu kutokana na upatikanaji wa mabaki ya aina mbalimbali za viumbehai wa jenasi Homo. Aina mojawapo imepewa jina la pango hilo (Denisova hominin au Homo denisova), nyingine ni maarufu kama Homo neanderthaliensis, mbali ya Homo sapiens sapiens[1].
Mabaki hayo yanaonekana kuthibitisha kwamba aina hizo zilizaliana.
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads