Pantagati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Pantagati wa Vienne (475 hivi - 540 hivi) alikuwa askofu wa mji huo wa Burgundy (leo nchini Ufaransa)[1][2][3].

Aliacha majukumu ikulu asomee upadri. Baada ya mwaka 536 alifanywa askofu akashiriki mtaguso wa Orleans wa mwaka 538[4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Aprili[6].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads