Pantaleo mfiadini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pantaleo mfiadini
Remove ads

Pantaleo (kwa Kigiriki Παντελεήμων, Panteleímon, yaani "Mwenye huruma tupu") alikuwa Mkristo wa Nikomedia huko Bitinia aliyefia dini yake wakati wa dhuluma ya Kaisari Diocletian mwaka 305 BK[1].

Thumb
Picha takatifu ya karne ya 13 iliyoko katika monasteri ya Mt. Katerina juu ya Mlima Sinai ikionyesha pia matukio ya maisha ya Mt. Pantaleo.

Kabla ya hapo alikuwa akitoa huduma za kitatibu bila kudai malipo yoyote [2]. .

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[3], Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Julai[4][5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads