Papa Boniface III

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Boniface III
Remove ads

Papa Boniface III alikuwa Papa kuanzia tarehe 19 Februari 607 hadi kifo chake tarehe 10 Novemba 607[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Thumb
Papa Bonifasi III.

Alimfuata Papa Sabiniano akafuatwa na Papa Bonifasi IV.

Ingawa aliongoza muda mfupi, alichangia sana uimarishaji wa miundo ya Kanisa Katoliki.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads