Papa Gregori X

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Gregori X
Remove ads

Papa Gregori X (takriban 1210 10 Januari 1276) alikuwa Papa kuanzia 1 Septemba 1271/27 Machi 1272 hadi kifo chake[1]. Alitokea Piacenza, Italia[2].

Thumb
Mwenye heri Gregori X.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Tebaldo Visconti. Uchaguzi wake ulichukua muda mrefu kuliko zote (miaka mitatu).

Alimfuata Papa Klementi IV akafuatwa na Papa Inosenti V.

Tarehe 8 Julai 1673 Papa Klementi XI alimtangaza mwenye heri.

Sikukuu yake hadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads